- Rai za wanavyuoni wa kiislamu dhidi ya uzazi wa mpango .
- Jinsi ya kutofautisha halali wakati jambo la haramu likiingia .
- Sheria za kiislam dhidi ya vitu viletavyo madhara kwa mwandaam .
- Zipi sheria za kutoaa mimba ?
- Je yafaa kumchukua mtoto sio yako na kumlea?
- Ni ipi njama iliyoweka ili kuleta ongezeko la watot wa haramu ?
- Vizazi pandikizi katika jamii zetu ?
- Sheria ya kiislam imesema vipi dhidi ya uzazi pandikizi !.
- Maana halisi ya mwanaharamu katika uislam .
- Mfumo wa talaka katika dhehebu la SHIA ITHNAASHARIYAH .