Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

01 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

01 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii
➢ Tofauti za wanadamu wa zama hii na wa zama zilizopita…  • Mazinngira ya sasa si sawa na mazingira ya zama zilizopita…  • Je, Daur (Mapinduzi.) ya Imamu Husein (a.s.) yaweza kutatua matatizo ya karne hii?  • Kuna hatua tano za kujibu swali hili:  1) Je, Daur hii twaweza kuitumia kama suluhisho la matatizo na...

Fungua Mhadhara

02 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

02 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii
➢ UTANGULIZI: Mukhtasari wa Muhadhara uliopita…  • Nafasi ya mwanadamu katika huu ulimwengu…  • Amana ni nini?...  • Ufafanuzi wa ukhalifa wa mwanadamu…  • Sura mbili za mwanadamu…  • Ukarimu…  • Nafsi na Akili…  • Iblisi adui wa mwanadamu…  • Adui wa nje na ushirikiano na adui wa ndani na…  • Sababu za kutumwa Mitume...

Fungua Mhadhara

03 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

03 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii
➢ UTANGULIZI: Mukhtasari wa Muhadhara uliopita…  • Nafasi ya akili katika maamuzi…  • Mwanzo wa Karbala…  • Watakao rithi ardhi…  • Tawba kabla na baada ya kdhihiri kwa Imamu (atf)…  • Namna ya kujiandaa kumpokea Imamu (atf)…  • Jinsi ya kuilinda Amana…  • Maana salah na fasad…  • Maradhi ya nafsi na jinsi ya kuondokana...

Fungua Mhadhara

04 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

04 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii
➢ UTANGULIZI: Mukhtasari wa Muhadhara uliopita…  • Harakati za Mitume (as) na Maimamu (as)…  • Barabara tatu: Ukhalifa, Shahada na barabara ya Shaitwan…  • Upotoshaji wa Iblis…  • Mwongozo kutoka kwa Mitume (as) na kuhitimishwa na Mtukufu Mtume Muhammad (saww)…  • Mafunzo ya Tawhid – miaka kumi na tatu…  • Msisitizo wa kutumia Akili… 

Fungua Mhadhara

05 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

05 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii
➢ UTANGULIZI: Mukhtasari wa Muhadhara uliopita…  • Je, mwisho wa utume ina maana mwanadamu kujitegemea mwenyewe kupambana na Shaitwan?  • Nadharia ya Uimamu…  • Nabii Musa (as) aomba apewe Harun (as) kama msaidizi wake…  • Ali (as) kama Haun (as)…  • Kujitokeza kwa matatizo ni kukosekana kwa Mwongozaji…  • Imamu Ali (as) aanza kwa kueneza...

Fungua Mhadhara

06 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

06 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii
➢ UTANGULIZI: Mukhtasari wa Muhadhara uliopita…  • Harakati za Imamu Husein (as) na malengo yake…  • Tofauti ya mageuzi na mapinduzi…  • Islah kwa mtazamo wa Qur’an Tukufu…  • Ufisad wa Yazid wawekwa wazi na Imamu Husein (as)…  • Mateso waliyofanyiwa watu wa nyumba ya Mtume (saww) kama mateka chini ya Yazid na utawala wake… ...

Fungua Mhadhara

07 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii

07 | Daur ya Imam Husayn (a.s.) katika karne hii
➢ UTANGULIZI: Mukhtasari wa Muhadhara uliopita…  • Mapambano kati ya Akili na Nafsi  • Tutayatumia vipi Mapinduzi ya Imamu Husein (as) katika karne hii ya 21?  • Imamu Husein (as) hakutawailiwa na dunia…  • Akina Yazid bado wapo na tawala zao zinaendelea…  • Tawala hizo zinatumia utajri wa Waislamu kuumaliza Uislamu…  • Wahubiri wa haki...

Fungua Mhadhara