Author: ILM ONLINE

MALENGO YA KUUNDA FAMILIA PART 3

  1. Namna ya kumwanda kijana kwaajili ya kuishi na jamii .
  2. Suluhisho la uchumi kwa kwa kijana ni nini ?
  3. Mama wa ufumbuzi ni nani ?
  4. Ni ipi ngome ya jamii ?
  5. Ifahamu fursa ya maisha .
  6. Vipi watakiwa kujitegemea ?.
  7. Stara katika ndoa !
  8. Fahamu jinsi ya kugawa maamuzi katika familiaa .

MALENGO YA KUUNDA FAMILIA PART 2

  1. Kwanini tumeumbwa na jinsia tofauti na kuwekwa mfumo wa ndoa .
  2. Ukamilifu wa mwanadamu ni nini .
  3. Vitu vya kimwili sivyo vinavyotuletea raha !
  4. Ifahamu kwa upana kauli ya Mtume (saw) katika ndoa !
  5. Viumbe pekee walozaliwa pasi na kujua lolote !.
  6. Fahamu kinachomaanishwa na uzazi wa ndani ya familia na uzazi wawa nje ya familia .
  7. Kazi za familia katika jamii .
  8. Elimu ya maisha ya jamii kutoka kwa familia .

MALENGO YA KUUNDA FAMILIA PART 1

  1. Mfumo uomsukuma mwanadam kuijenga familia .
  2. Ni yapi malengo ya kubuni familia katika uislam ?.
  3. Changamoto kwa wakufunzi wa elimu kutokana na rika za watu .
  4. Hatua za kuchaguana kabla ya ndoa .
  5. Mwanamke yupi ni raha ya dunia ?
  6. Je? kujiepusha na hali ya kimaumbile ni dini .
  7. Vipi tuyaongoze matamanio yetu ya kijinsia katika uislam .

Historia ya familia

  1. Hstoria ya wanaadam .
  2. Faham wivu ulipodhihiri kihistoria .
  3. Historia ya ndoa katika zama za kale .
  4. Kiumbe gani alio pasi nakuwa na hisia za kijinsia .
  5. Historia za kudhihiri hisia za kijinsia kwa mujibu wa wana vyuoni mbali mbali .
  6. Mahala alipojifunza Adam elimu ya maisha kabla ya kuja duniani .
  7. Itambue serikari ya kwanza duniani wakati wa zama za kale .
  8. Ufahamu mfumo ulowekwa na serikali kuchukua majukumu ya familia .
  9. Nini dhumuni la kuwepo taqiyah .
  10. Mfaham mtu wa kwanza kufanza taqiyah katika Quran .

NDOA YA ADAM NA HAWA NA WATOTO WAKE

  1. Ndoa ya Adam na Hawa na watoto wao .
  2. Ni mfumo upi ALLAH (SWT) : aliutumia kuendeleza kizazi cha wanadamu .
  3. Fahamu mambo yenye ulazima kuyabeba kiimani nasi kiakili ya kawaida .
  4. Nini wasomi wakiislamu na wanao wafuata wazingatie !
  5. Mashiko dhidi ya uumbaji wa Adam , Hawa na kizazi chao .
  6. Fahamu jinsi Hawa alivyoumbwa na ALLAH (SWT)
  7. Mjue nani alimvutia malaika Jibril kwasabu ya mapenzi makubwa kwa mtume Muhammad (saw) .
  8. Malaika Jibril awambia binadamu wawili kuwa anatoka nao .
  9. Kisa cha maumbile ya mwanadamu katika baadhi  ya riwaya ya msomi wa kidini .
  10. Binadamu walioumbwa kabla ya Adam !!.
  11. Sababu ya kuwepo mizani siku ya Qiyamah .

CHANZO CHA FAMILIA

  1. Itambue nguvu kubwa ya ndani ya mwandam .
  2. Nguvu ambazo mwanadamu hupambana nazo !
  3. Kuoko katika uisilam !
  4. Vifahamu vitu viwili vikubwa alivyovipenda Mtume (SAW) katika dunia !
  5. Nadharia potofu kutoka kwa mwanasaikolojia maaruf duniani !.
  6. Kiumbe gani alioa kabla ya sheria za ALLAH (SWT) KUWEPO !
  7. Kiumbe gani uislam umeweka kipaumbele katika maumbile ya mwanadamu ,
  8. Wafahamu watu ambao watapata kivuli cha ALLAH (SWT) siku Qiyama

ASILI YA FAMILIA

  1. Asili na chanzo cha familia .
  2. Hatua ilizopita familia katika historia mpaka hivi sasa .
  3. Kiumbe tofauti na viumbe vingine ambavyo LLAH (SWT) ameviumba .
  4. Kifahamu kiumbe kilicho umbwa kutokana na mchanganyiko wa sifa za viumbe vyote ulimwenguni !
  5. Ni yupi kiumbe bora na mzuri kuliko wote !
  6. ALLAH (SWT) aliiambia nini akili ya mwandamu ?
  7. Ipo wapi njia ya motoni na peponi ?
  8. Ni wapi waliopata hasara kubwa ya ALLAH (SWT)
  9. Vipi amli njema zaweza kukuangamiza ?
  10. Ifahamu sharia za mali za waqfu misikitini .
  11. Yafahamu maumbile ya kustaajabisha mwanadamu !.
  12. Itambue nguvu kubwa inayomsukuma mwanaadamu katika maisha .

KULINDWA KWA FAMILIA

  1. Rai za wanavyuoni wa kiislamu dhidi ya uzazi wa mpango .
  2. Jinsi ya kutofautisha halali wakati jambo la haramu likiingia .
  3. Sheria za kiislam dhidi ya vitu viletavyo madhara kwa mwandaam .
  4. Zipi sheria za kutoaa mimba ?
  5. Je yafaa kumchukua mtoto sio yako na kumlea?
  6. Ni ipi njama iliyoweka ili kuleta ongezeko la watot wa haramu ?
  7. Vizazi pandikizi katika jamii zetu ?
  8. Sheria ya kiislam imesema vipi dhidi ya uzazi pandikizi !.
  9. Maana halisi ya mwanaharamu katika uislam .
  10. Mfumo wa talaka katika dhehebu la SHIA ITHNAASHARIYAH .

VIPI TULINDE FAMILIA

  1. Vipi tuzilinde familia zetu ?
  2. Changamoto za mfumo wa vyombo vya habari dhidi ya familia zetu .
  3. Vitmbi vya watu wa zama za ujahili dhidi ya tamaduni zao .
  4. Aina tano za ndoa wakati wa zama za ujahili .
  5. Zana chfu za kifikra zinazopandikizwa kwa familia .
  6. Jamii kuwa na mfumo wa maisha wa wanyama .
  7. Njama kuu hatari zilizoandaliwa za kuziangamiza familia .
  8. Kugeuzwa kwa majukumu ili kuepuka familia .
  9. Vipi jambo la halali laweza leta hasara .
  10. Vipi tutatakiwa kuupinga uzazi wa mpango ?

KULINDA FAMILIA

  1. Utukufu wa familia katika Quran .
  2. Umuhimu na malengo ya ndoa .
  3. Ni ipi dhamana kubwa ya ndoa
  4. Swadaqatun jaariya yenye kupendeza .
  5. Nabii Adam hakuishi bila Mke !
  6. .ALLAH (SWT) asema tutajua tu!.
  7. Ulinzi kwa familia .
  8. Bajeti ya ALLAH (SWT) kwa viumbe vyake .
  9. Wakoministi na vita vyao kwa familia .
  10. Umri gani mtoto akiwa kuanza kusoma kwa mujibu wa mtume MUHAMMAD (SAW)
  11. Mashiko matatu kwa malezi ya mtoto .